
Topic: Barua kutoka kwa mume wa
flora mbasha kwenda kwa mchungaji
gwajima
Page 1 of 2 1
BONGOLALA 20:54 Today
"Mchungaji ...yapata kama wiki mbili
zilizopita nilihoji kupitia vyombo vya
habari juu ya ‘utajiri' wa ghafla wa
mkewangu Mara baada ya mgogoro
kutokea kati yangu na yeye, bila
kupoteza muda mkewangu akanijibu
kupitia gazeti moja la udaku kuwa
amechangiwa fedha kiasi cha milioni 9
na waumini kanisani kwako.
Mchungaji, naomba uelewe kuwa
nafahamu juu ya mipango yote
mnayoipanga kuliko unavyodhani!!
Kwanza ni kweli kuwa mlipitisha
harambee ya kumchangia mkewangu,
lakini kiwango kilichopatikana kilikuwa ni
milioni 2 na laki tatu na si milioni tisa
kama mlivyotangaza!! Lakini mlitangaza
uongo huo makusudi iwe rahisi kutimiza
malengo yenu ya kidhalimu
mliyoyapanga juu yangu!!
Mnamo tarehe 3 mwezi juni mwaka
huu, mlifungua akaunti mpya kwa jina la
mkewangu katika benki ya crdb
morogoro, na siku nne baadae
mkewangu aliingiziwa fedha kiasi cha
milioni 18 kutoka akaunti ya
MWANAMAPINDUZI FOUNDATION
ambayo hyo accnt ipo nmb mwanza!
Ambapo asasi hii inamilikiwa na
mchungaji wako msaidizi Maximilian
Machumu pamoja na mbunge wa viti
maalumu kutoka mikoa ya kaskazini!
Nashukuru kama ulimpa fedha hizi kwa
nia ya kumsaidia, lakini hofu yangu ni
kuwa kwanini kitendo hiki kifanyike kwa
kificho?? Kwanini mtumie njia za siri
ambazo si rahisi watu kujua kama
mmempa fedha??
Pia napatwa na mashaka zaidi kwani siku
moja baada ya fedha hizi kuingizwa
taarifa ya benki inaonyesha kuwa kiasi
cha milioni sita cash zilitolewa na siku
hiyo hiyo wapo waandishi watatu wa
magazeti ya udaku ambao wanaonekana
waliingiziwa fedha kiasi cha milioni moja
kila mtu na aliyedeposit hizo fedha ni
moja ya viongozi wako hapo kanisani!!
Kuna nini hapo??
Mchungaji, naomba tusizunguke mbuyu!
Ni dhahiri shahiri kuwa umekuwa na
uhusiano wenye utata na mkewangu
kwa muda mrefu sasa!
Binafsi nilianza kupata wasiwasi mwaka
jana mwezi desemba tulipoenda katika
mkutano wako wa injili pale morogoro!
Mimi na mkewangu tulifikia hoteli ya
kingsway msamvu na wewe ulifikia
Nashera Hotel maeneo ya forest hill!!
Baada ya siku tatu za mahubiri mkutano
wako ulipigwa marufuku na serikali
kwasababu ya maneno yakichochezi
uliyokuwa unahubiri, hvyo ikatulazimu
waimbaji wote turejee dar es salaam!!
Lakini uliniomba mkewangu abaki na
wewe kwani ulipanga uwe unawafanyia
watu maombi pale kanisani kwako
kihonda kwa muda wa siku nne!!
Nilikubali na nikamuacha mkewangu
nyumbani kwa dada yako pale
mazimbu!! Lakini kesho yake dada yako
alisafiri kwenda mwanza na ikabidi
mkewangu arudi hotelini kingsway!!
Kwaa taarifa nilizonazo na
nimezithibitisha kupitia wahudumu wa
pale hotelini ni kuwa mkewangu
hakuwahi kulala pale hata siku moja
ingawa chumba kililipiwa kwa siku zote
zile!! Unaweza kunijibu alikuwa analala
wapi?? Je unaweza kunieleza kwanini
mkewangu alikuwa analetwa nashera
hoteli na taxi kila siku usiku!!
Sibahatishi katika hili kwani hata namba
ya dereva taxi ninayo!!
Yote haya nilivumilia, na hapa kati kati
kuna mengi sana yametokea lakini
nikajifanya mjinga nikajishusha
nikavumilia kwa lengo la kulinda ndoa
yangu isiharibike lakini naona wenzangu
hambadiliki wala hamjishitukii sana sana
mapenzi ndio yanzidi kuwa motomoto
kati yenu!! Ulikuwa unategemea
nivumilie mpaka lini, nijishushe kiasi
gani, niwe mjinga kiasi gani Nilikuvumilia
sana mchungaji lakini sasa imefika point
hapana, imetosha lazima nikuondelee
uvivu watanzania na dunia ikufahamu
jinsi ulivyo na kitendo ulichonifanyaia na
unataka kuniziba mdomo kwa kunitishia
jela miaka 30!!!
Wewe ni mpuuzi na shetani anaishi
ndani yako... na nataka nikuahidi kitu
kimoja kuwa NITAKUSHINDA! Najua
utanisumbua sana kutokana na hela
zako but at the end, I will be the last
man standing!! Narudia tena,
nitakushinda.!!
Bila kusahau naomba niongee na wewe
pia mkewangu, hivi ni nini kilichokukuta
ndani ya moyo wako How did we get
here?? Je ni fedha zilizokufanya
ukengeuke kiasi hicho au kuna kingine??
Kama unanichukia mimi kiasi hiki je,
uwahurumii hata watoto wetu?? Mbona
tunawatengenezea mikosi wakiwa
wadogo hivi?? Hivi unadhani watoto
wanajisikiaje watakaposikia kuwa baba
ameenda jela kwa kosa la kubaka lakini
aliyechongesha muvi yote hiyo ni
mama?? Hivi kisaikolojia hawa watoto
watakuwaje Si watakuwa huku
wanatuchukia sisi wote wawili kwa aibu
na mikosi hii tunayowatengenezea
Kwanini tunataka kuwataabisha watoto
kwa dhambi ambayo hawajaitenda
Yes nafahamu nimekukosea mengi and
am very sory for that, lakini basi embu
kumbuka mkewangu nimekuvumilia
mambo mangapi mkewangu, kumbuka
makosa mazito uliyonifanyia lakini
nikakusamehe ni sijamsimulia hata
ndugu yako ama ndugu yangu ili kulinda
heshima yako!! Kumbuka jinsi
tulivyopogana na changamoto
mbalimbali mpaka leo hii umefikia kuwa
moja ya icons wa muziki wa injili hapa
nchini?? Kumbuka shida, manyanyaso,
dhuluma, kuchekwa na kudharauliwa
ambako tumepitia mpaka leo hii tuko
hapa!!!
Mkewangu, kwa miaka yote hii
nimekubali nionekane bushoke tu huku
watu hawajui kuwa mimi ndiye
ninayechora ramani ya kila ishu yako!!
Mimi ndiye nimekuwa nafatilia na
kufanikisha kila kitu chako from
scratch!!!
Lakini nimekubali jamii inione bushoke
kwani nilikuwa najua nini mimi na wewe
tunatengeneza kwa maisha yetu ya sasa
na baadae!!! Nini kilichokubadilisha
mkewangu Fedha Au huyo mchungaji
mwanamazingaombwe
Hivi kweli kabisa umefikia hatua ya
kulipa waandishi wa habari ili
wanikandamize nionekane sifai katika
jamii Ni nini kilichokuoata mkewangu??
Naomba uelewe kuwa binafsi siogopi
kwenda jela kwasababu ya hiyo muvi
mliyonizushia, kwani ni bora nikakae jela
kuliko kuishi huru huku mkininyanyasa
kiasi cha kuondoa utu wangu kama
bidamu, lakini kinachoniuma ni familia
yetu!! Kwanini watoto wateseke kwa
sababu ya tamaa zetu binafsi!! Nikifikiria
hilo naumia sana!
Najua kwa sasa inaonekana kama vile ni
impossible kwa mimi na wewe
kurudiana tena, lakini binafsi naamini
tunaweza!! Najua haitakuwa rahisi
kwani tumeharibu mno, lakini ni heri ya
kujaribu kuliko kuendelea kufanya huu
upuuzi tunoufanya sasa!!
Kumbuka hiki tunachokifanya sasa
hatujajipaka matope sisi tu pekee, bali
mziki wote wa injili Tanzania, na
tusipotubu tukajirudi Mungu
atatuhukumu kwa dhambi hii!!
Kumbuka kuwa hakuna kati yenu
atakayeshinda katika hii vita, vyombo
vya habari pekee ndivyo vitakavyo
nufaika lakini mimi, wewe na mchungaji
wote tuta loose!!
Mwisho nimalizie na wewe mchungaji,
tulipokutana mara ya kwanza
nilikuchukulia kama kaka na kama mlezi
wetu wa kiroho!! Lakini umegeuka
shetani mwenye pembe saba,
umeparaganyisha familia yangu,
umeleta maumivu makali kwenye
ukoo!!
Nakuonya tena kwa mara nyingine,
muache mkewangu!! Huyo ni
mkewangu, nilimtolea mahali mimi
mwenyewe na wazazi wake waliniamini
na kunikabidhi!!! Nasema niachie
mkewangu!!
Wewe ni nyoka, imefika time
watanzania wakujue ukweli wako wewe
mbwa mwitu mkali uliyevaa ngozi ya
kondoo!!!
Umedanganya watu vya kutosha na
umefarakanisha ndoa nyingi sana kwa
sababu ya kiburi cha pesa zako chafu za
sembe!! Umeudhalilisha ulokole kiasi
cha kutosha imefika time tuwaeleze
watanzania ukweli na wakufahamu kuwa
wewe ni nyoka!!

Sitakubali kuona ukiendelea kuitesa
familia yangu, nitapambana na
nitakushinda!!! Siogopi fedha zako wala
connection ulizonazo, ni bora nife
nikiwa nimesimama kuliko kuishi
nimepiga magoti!
Nitapambana na wewe mpaka mwisho
ili historia isomeke vizuri ili hata
wanangu wakiwa wakubwa wajue kuwa
baba yao sikuwa lofa kiasi cha kupiga
magoti na kuelekeza shingo kibla
kuruhusu mdhalimu kama wewe
uichinje familia yangu, bali licha ya
umasikini wangu nilisimama kiume na
kupigana kutetea familia yangu!!!
Narudia tena mchungaji, nitapambana
na nitakushinda.."