Waziri
wa Maliasili na Utalii Mh. Razalo Nyalandu akipongezana na Balozi
Chales Sanga Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Utalii
Tanzania TTB mara baada ya kuzindua rasmi SITE ya Maonyesho ya Kimataifa
Utalii ya Tanzania yanayojulikana kama Swahili International Tourism
Expo (SITE) kwenye hoeli ya Serena
Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Razalo Nyalandu akizungumza katika zinduzi huo wakati alipokuwa akisoma hotuba yake.
Wageni wlikwa mbalimbali wakiangalia jinsi mabanda yatakayotumiwa na washiriki wa maonyesho yatakavyokuwa.
(A.I).
No comments:
Post a Comment