Monday, 29 December 2014

Umesoma makubwa yaliyoandikwa na Magazeti ya Tanzania leo Dec 30 ?Yako hapa


.
.
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headlines mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

Saturday, 13 December 2014

Sio Movie… Watoto wavamia Bank… Tazama video ya kilichotokea hapa


Hall 1_2Movie zimelalamikiwa kuharibu watoto wengi, kile ambacho wanachokiona wao hukibeba na kukipelleka kwenye uhalisia kwa kuwa wanakuwa hawana utashi wa kutambua kwamba wanachokiona kwenye movie sio kitu halisia, bali ni maigizo.
Watoto wawili wenye umri wa miaka 12 na mwingine 13, wamepandishwa kizimbani wakituhumiwa kufanya jaribio la kuiba Bankwakitumia Bastola bandia.
Haikuwa movie, hii ni kweli kutoka Israel.
Mmoja wao alikuwa amebeba begi la daftari mgongoni, huku wakiwa na bastola za toy halafu wakaingia benki na kuwatisha wateja waliokuwemo ndani ya Benki hiyo mitaa ya Tel Aviv.
Msemaji wa Polisi huko Israel Micky Rosenfeld amethibitisha tukio hilo kuytokea na kusema kuwa waliwakamata watoto hao baada ya kupata picha za kwenye camera za CCTV.
Mwanasheria Gil Gabay amekosoa namna ambavyo watoto hao walihudumiwa wakiwa kituo cha Polisi, waliwekwa kama watuhumiwa watu wazima huku wakiwafuatilia kwenye camera maalum huku wakiwa wamekaa kwenye viti ambapo Gabay amesema haki za Watoto hao zimekiukwa.
Tayari wamefikishwa Mahakamani na kusomewa mashtaka huku wakiwa wameficha sura zao.
Tumia Sekunde 46 kutazama Video ya  tukio hilo la aina yake.

Unahitaji kupata story zote kali zinazonifikia? Ni rahisi sana mtu wangu.. Niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi kwa kubonyeza >>> twitter Insta Facebook

Sunday, 7 December 2014

TAARIFA NYINGINE KUTOKA IKULU KUHUSU RAIS KIKWETE LEO DESEMBA 07

 
Tulisikia kwamba baada ya kufanyiwa upasuaji Marekani, Rais Kikwete alipewa masharti kadhaa na madaktari waliomfanyia upasuaji juu ya utaratibu wa kufanya katika kipindi cha miezi mitatu, ambapo moja ya masharti aliyopewa ni kutofanya kazi ngumu.
Katika ukurasa wa Facebook wa gazeti la Mwananchi, wamepost picha na story inayosomeka hivi; “..MAZOEZI: Rais Jakaya Kikwete akifanya mazoezi katika Viwanja vya Ikulu, Dar es Salaam, kutekeleza ushauri wa madaktari waliomtaka afanye hivyo mara tatu kwa siku ili kuimarisha afya yake, baada ya upasuaji mwezi uliopita nchini Marekani. Picha na Ikulu..“
Credit Millardayo

Thursday, 4 December 2014

HATIMAYE Nack Visual Production YAJA KWA KASI KWA UBORA WA KAZI















Nack Visual Production wanaopatikana mivinjeni mkoani Iringa ni wazoefu wa kushoot video mbalimbali na ni mafundi wazuri wakudizaini macover na kudublicate CD.
Hata hivyo nack wametoa  ofa kwa msimu huu wa sikuku kwa punguzo la bei kwa asilimia 50% kwa kila aina ya kazi inayofanyika katika studio zao.
Aidha msimamizi wa kampuni ya nack visual production amethibitisha kwa kusema kuwa "tumeamua kuwajali wale wenye mapenzi ya dhati na kazi zetu na ndio maana tumeweka punguzo la bei ili kila hali iweze kumudu kufanya kazi na sisi hususani katika kipindi hii cha sikukuu iwe kushoot ama kitu chechote kinacho tuhusu"
Kwa mawasiliano wasilianao kwa nambali 0768817030 au 0752659508 au email: nacknim0@gmail.com


BY HABARITALKBLOG