Thursday, 4 December 2014
HATIMAYE Nack Visual Production YAJA KWA KASI KWA UBORA WA KAZI
Nack Visual Production wanaopatikana mivinjeni mkoani Iringa ni wazoefu wa kushoot video mbalimbali na ni mafundi wazuri wakudizaini macover na kudublicate CD.
Hata hivyo nack wametoa ofa kwa msimu huu wa sikuku kwa punguzo la bei kwa asilimia 50% kwa kila aina ya kazi inayofanyika katika studio zao.
Aidha msimamizi wa kampuni ya nack visual production amethibitisha kwa kusema kuwa "tumeamua kuwajali wale wenye mapenzi ya dhati na kazi zetu na ndio maana tumeweka punguzo la bei ili kila hali iweze kumudu kufanya kazi na sisi hususani katika kipindi hii cha sikukuu iwe kushoot ama kitu chechote kinacho tuhusu"
Kwa mawasiliano wasilianao kwa nambali 0768817030 au 0752659508 au email: nacknim0@gmail.com
BY HABARITALKBLOG
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment