Wednesday, 6 August 2014

MPIGA DEBE MAARUFU MJINI IRINGA AUAWA KWA DENI LA SHILINGI 2000 TU




Mwili wa mpiga debe huyo baada ya kifo chake


 

DENI la Sh 2,000 limetosha kumaliza uhai wa mpiga debe maarufu wa stendi ya mabasi yaendeayo mikoani ya mjini Iringa, Samwel Yengayenga baada ya kuchomwa kisu mara mbili katika eneo la mgongoni na kifuani. (FS)

No comments:

Post a Comment