Tuesday, 11 November 2014

WANANCHI MKOANI IRINGA WAMETAARUKI BAADA YA MOSHI MZITO KUTANDA ANGANI

Eneo moto ulikotokea

Wananchi wakishuhudiatukio hilo la moto

Asikari zima moto wakijitahidi kuzima moto huo.


eneo lililo nusurika kuungua



       







Wananchi wa manispaa ya Iringa kata ya Makorongoni wamekumbwa na taharuki baada ya  moshi mzito kutanda angani baada ya watu wasiojulikana kuchoma matairi yaliyokuwa yamerundikwa kwenye jalala hilo lisilo rasmi.
Akizungumza na Habaritalk blog diwani wa kata ya hiyo Bw.Tadeus Tesha amesema eneo hilo hutumiwa na wachongaji wa viatu vijulikanavyo kama Kobasi                 kutupa mabaki ya matairi ambapo inasemekana kuna watoto wa mtaani hulala kwenye jalala hilo.

Aidha kwa upande wake fundi wa gereji iliyopo jirani na tukio hilo Bw.Lazaki Wihaa amekana kuhusika kuwa chanzo cha moto huo na kusema kuwa wachongaji matairihuenda wakawa chanzo.

Mpaka Habaritalk blog inaondoka katika eneo la tukio chanzo cha moto huo hakikuweza kujulikana kwani uchunguzi wa kina unaendelea.

By Habaritalk blog

No comments:

Post a Comment