Mitihani
ya kuhitimu kidato cha nne imeanza leo hii
kote nchini ambapo wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi imetoa takwimu
ya wanafunzi wanaofanya mitihani kuwa ni 297,488 kati yao wahitimu wa shule
wakiwa 245,030 na wahitimu wakujitegemea wakiwa ni 52,458.
Wakiongea na habaritalk blog wazazi wa wahitimu
wa kidato cha nne mkoani Iringa wamesema wamewaandaa vizuri watoto wao tayari
kwa kukabiliana na mitihani hiyo itakayo dumu kwa muda wa siku 20 kuanzia
tarehe 03 hadi tarehe 23 november .
Aidha
wazazi wameomba watoto wao kuwa makini katika kusoma vichwa vya habari ili
waweze kujibu mitihani yao kwa ufasaha.
By habaritalkblog
By habaritalkblog
No comments:
Post a Comment