Mchezaji huyo wa kimataifa kutoka Cameroon, 33, amejiunga kama mchezaji huru na anaungana na Romelu Lukaku waliokuwa pamoja Chelsea.
Boss wa Everton Roberto Martinez amesema: "Nilikutana naye na tukawa na mazungumzo mazuri. Nilivutiwa sana na njaa ya kucheza soka ambayo bado anayo.
"Tumefurahishwa sana na nadhani Everton ni makazi yake mazuri."..(E.L)
No comments:
Post a Comment