Friday, 29 August 2014

DMCT FC YA MCHAPA LOYAL OF AFRICA KICHAPO CHA BAO MOJA (1) KWA BILA








Kikosi cha Dmct Fc wakiomba Dua

Kocha wa Kimataifa Lucas Kulwa akitoa maelezo kwa wachezaji wa timu zote mbili DMCT Fc na Loyal of Africa










Timu ya DMCT Fc ya yaichapa timu Loyal of Africa, bao moja kwa sifuri katika mchezo uliochezwa saa kumi na nusu  na kumalizika saa kumi na mbili kamili jioni ya leo katika viwanja vya nanenane John Mwakangale jiji mbeya.
   Timu DMCT FC  ilijipatia goli hilo katika dakika ya 35, kwa kupitia mshambuliaji  wake hatari Emmanuel  Mwinuka kupitia krosi kali iliyopigwa  na msambuliaji  Emmanuel Balotel huku goli kipa wa Loyal of Africa akiwaamebaki hana la kufanya hadi dakika ya tisini, refa wa kimataifa Lucas Kulwa kupuliza kipenga dmct fc moja Loyal of Africa sifuri.
   Mashabiki wa Loyal of Africa wakiongea na mtandao wetu walisema kuwa refa amechezesha mchezo vizuri bila kupendelea na kukiri mapungufu ya kipa wao na wachezaji wao.
   Pia mashabi wa DMCT hawakubaki nyuma na kusema wanafurahia ushindi wao wa goli moja dhidi ya watani wao Loyal Fc.   
Na Habaritalk

No comments:

Post a Comment