Aprili 16, mwaka huu wajumbe wa Ukawa
na baadhi kutoka Kundi la 201, walisusia vikao vya Bunge hilo wakitaka
msingi wa mapendekezo ya Rasimu ya Katiba usibadilishwe, wakipinga
uamuzi wa CCM kutaka kuingiza mfumo wa serikali mbili badala ya tatu
zilizopendekezwa katika Rasimu.
TCD inaundwa na vyama vya siasa vyenye
uwakilishi bungeni ambavyo ni CCM, CUF, Chadema, NCCR-Mageuzi, UDP na
TLP, huku vyama visivyo na uwakilishi bungeni vikiwakilishwa na UPDP
kinachoongozwa na Fahmi Dovutwa.
Jana, kwa nyakati tofauti wenyeviti
wenza wa Ukawa, Freeman Mbowe (Chadema) na Profesa Ibrahim Lipumba (CUF)
na James Mbatia (NCCR Mageuzi), walisema wako tayari kukutana na Rais,
ila msimamo wao wa kutaka ijadiliwe rasimu iliyotolewa na Tume ya
Mabadiliko ya Katiba.
Kimekuwa ni kilio cha muda mrefu kwa
Ukawa kuomba wakutane na Rais Kikwete kwa ajili ya kujadiliana namna
bora ya kuendesha mchakato wa kupata Katiba Mpya.
Akizungumza na waandishi wa habari
bungeni Dodoma jana, Mwenyekiti wa TCD, John Cheyo alisema Rais atafanya
kikao hicho wakati wowote ndani ya wiki hii na kwamba viongozi wa vyama
wakiwamo wa Ukawa, wamethibitisha kushiriki.
Cheyo alisema, katika kikao
walichokutana Dar es Salaam Agosti 23, wanachama wa TCD walikubaliana
kwamba upo umuhimu wa kukutana na Rais Kikwete kwa mazungumzo na
maridhiano.
Kukutana kwa viongozi hao, kunakuja
huku wajumbe wa Bunge Maalumu wakiwa wamemaliza kujadili sura zote 15
zilizokuwa zimesalia na tayari baadhi ya kamati zimemaliza kupiga kura
wakisubiri kuingia bungeni Septemba 2 kwa kazi ya kupigia kura sura kwa
sura.
Kuhusu viongozi wa Ukawa, alisema
wanazo taarifa na baadhi yao walikuwapo katika kikao cha kujadili
kukutana na kiongozi huyo wa nchi, hivyo akasema lazima watashiriki
wakati wowote wakiitwa.
Lipumba
Akizungumzia mkutano huo na Rais,
Profesa Lipumba alisema: "Tunakutana na Rais Kikwete kwa sababu sisi ni
wanachama wa TCD." Alipoulizwa juu ya msimamo wa Ukawa, alisema lengo ni
kutafuta mwafaka ili mchakato wa kupata Katiba Mpya uendeshwe kwa
kufuata sheria, kanuni na taratibu.
"Kikubwa tunachokitaka ni maoni ya
wananchi yaliyokusanywa na Tume ya Katiba iliyokuwa ikiongozwa na Jaji
Warioba kuheshimiwa na siyo kuchukuliwa maoni mengine kama inavyofanyika
sasa huko bungeni," alisema Profesa Lipumba.
Mbowe
Mbowe alisema Katiba Mpya ni kwa
masilahi ya Watanzania wote na Taifa lao, hivyo inapotokea mikutano kama
hiyo na kwa hali ilivyo sasa, hakuna mtu mwenye nia njema atakayekataa
kushiriki. Kikubwa ni kwamba hatuwezi kubadili msimamo wetu na huo ndiyo
ukweli," alisema.
Kuhusu Bunge hilo kupokea maoni ya
makundi mbalimbali wakati tayari ukusanyaji wa maoni umeshafanywa na
Tume ya Jaji Warioba, Mbowe alisema, "Ndiyo maana tulisusia vikao vya
Bunge la Katiba, nadhani sasa Watanzania wamejua kwa nini tulitoka nje."
Mbowe alisema kuwa mchakato wa Katiba
unaendeshwa kwa mujibu wa sheria, lakini hivi sasa Mwenyekiti wa Bunge
hilo, Samwel Sitta analiendesha Bunge hilo kinyume na sheria hiyo...
"Ukusanyaji wa maoni unaofanyika sasa ni fedheha kwa CCM na Serikali, ni
utoto na aibu wa CCM. Kwa sasa Ukawa tumetulia tunatazama hali
inavyokwenda na tuna mipango yetu ambayo tunapanga. Kama hali ikiendelea
kuwa hivi tutachukua uamuzi mgumu ili dunia nzima ijue."
James Mbatia
Alisema wako tayari kukutana na Rais
Kikwete kwa ushauriano kwa sababu suala la maridhiano ni la msingi na
viongozi wote wa TCD walikubaliana Agosti 23.
"Mwaliko tumeupata na tutashiriki.
Bunge linaweza kuendelea kwa taratibu zake za kisheria, lakini suala la
mashauriano, lazima tukae tuangalie ni jinsi gani Taifa letu linaweza
likavuka kwa maridhiano kwa amani na utulivu," alisema.
Kauli ya Ikulu
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais,
Salva Rweyemamu alisema Rais Kikwete yuko tayari kukutana na viongozi wa
vyama vya siasa muda wowote... "Wao wafuate utaratibu tu, Rais hawezi
kukataa kukutana nao na hilo amekuwa akilisema mara nyingi tu."
Saturday, 30 August 2014
Friday, 29 August 2014
WATU ZAIDI YA KUMI WAFARIKI KATIKA AJALI MBALIZI MBEYA
li>
Hivi ndivyo ambavyo Daladala hiyo ilivyojibamiza muda mchache uliopita
Eneo hili la ubavuni ndipo eneo ambalo Daladala hiyo iliingia na Kujigonga
Gari hilo aina ya Tata likiwa limepaki pembeni Muda mchache baada ya kupata ajali hiyo
Askari wa usalama wa Barabarani akiwa anatazama na kuchunguza zaidi ajali hiyo
Eneo ambalo Daladala hiyo iliyofumuka
Viti vikiwa vimeharibika baada ya ajali kutokea
Hivi ndivyo Daladala hiyo iliyokuwa ikitoka Mwanjelwa kuja Mbalizi ilivyo Haribika Baada ya ajali hiyo
Hapa ndipo eneo ambapo ajali imetokea , Askari wa usalama wa barabarani wakiendelea kufuatilia ajali hiyo
Ilikuwa ni Ajali mbaya
Mashuhuda
Baadhi ya Majeruhi wakiwa wanatolewa katika Hospitali ya Ifisi kuelekea Hospitali ya Rufaa Mbeya
WATU
kumi wakiwemo watoto wawili wamefariki dunia papo hapo na wengine saba
wamejeruhiwa vibaya katika ajali iliyohusisha magari mawili.
Ajali
hiyo ilitokea jana majira ya saa nne asubuhi ikihusisha gari ndogo ya
abiria maarufu daladala lenye namba za usajili T 237 BFB aina Toyota
Hiace na gari kubwa aina ya Fuso lenye namba za usajili T 158 CSV.
Kwa
mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo wamesema ajali hiyo ilitokea maeneo
ya Mbalizi baada ya Hiace iliyokuwa ikitokea Mbeya mjini kuelekea
Mbalizi kulivaa Fuso ilikuwa ikiingia barabarani.
Walisema
inasemekana dereva wa Hiace gari yake ilimshinda kutokana na kutelemka
mlima mkali wa Mbalizi inagawa pia walimtupia lawama dereva wa Fuso
ambaye alikuwa akiingia barabarani bila kuchukua tahadhari.
Muuguzi
Mkuu wa Hospitali teule ya Ifisi Mbalizi, Sikitu Mbilinyi, ambako
Majeruhi na marehemu walikimbizwa hapo alithibitisha kupokea majeruhi 7
ambapo alisema kati yao ni wanawake 3 na wanaume 4.
Alisema
kati ya majeruhi hao wawili wamepewa rufaa kwenda hospitali ya Rufaa
Mbeya kutokana na kuhitaji msaada zaidi huklu wengine wakiendelea
kupatiwa msaada wa haraka ili kunusuru hali zao.
Mbilinyi aliongeza kuwa pia wamepokea miili ya marehemu 10 wakiwemo watoto wawili na Wanawake wanne na Wanaume wanne.
Hata
hivyo majina ya majeruhi na marehemu hayajaweza kupatikana mara moja
kutokana na kuwa katika hali mbaya ambapo Dereva wa Fuso akitokomea mara
baada ya tukio.
NA MBEYA YETU BLOG
DMCT FC YA MCHAPA LOYAL OF AFRICA KICHAPO CHA BAO MOJA (1) KWA BILA
Kikosi cha Dmct Fc wakiomba Dua |
Kocha wa Kimataifa Lucas Kulwa akitoa maelezo kwa wachezaji wa timu zote mbili DMCT Fc na Loyal of Africa |
Timu ya DMCT Fc ya yaichapa timu Loyal of Africa, bao moja
kwa sifuri katika mchezo uliochezwa saa kumi na nusu na kumalizika saa kumi na mbili kamili jioni ya
leo katika viwanja vya nanenane John Mwakangale jiji mbeya.
Timu DMCT FC ilijipatia goli hilo katika dakika ya 35, kwa
kupitia mshambuliaji wake hatari
Emmanuel Mwinuka kupitia krosi kali
iliyopigwa na msambuliaji Emmanuel Balotel huku goli kipa wa Loyal of
Africa akiwaamebaki hana la kufanya hadi dakika ya tisini, refa wa kimataifa
Lucas Kulwa kupuliza kipenga dmct fc moja Loyal of Africa sifuri.
Mashabiki wa Loyal
of Africa wakiongea na mtandao wetu walisema kuwa refa amechezesha mchezo
vizuri bila kupendelea na kukiri mapungufu ya kipa wao na wachezaji wao.
Pia mashabi wa DMCT
hawakubaki nyuma na kusema wanafurahia ushindi wao wa goli moja dhidi ya watani
wao Loyal Fc.
Na Habaritalk
Wednesday, 27 August 2014
ETO'O ATUA EVERTON
Mchezaji huyo wa kimataifa kutoka Cameroon, 33, amejiunga kama mchezaji huru na anaungana na Romelu Lukaku waliokuwa pamoja Chelsea.
Boss wa Everton Roberto Martinez amesema: "Nilikutana naye na tukawa na mazungumzo mazuri. Nilivutiwa sana na njaa ya kucheza soka ambayo bado anayo.
"Tumefurahishwa sana na nadhani Everton ni makazi yake mazuri."..(E.L)
Kikwete uso kwa uso na Ukawa
Dodoma/Dar. Wakati wowote wiki hii,
Rais Jakaya Kikwete anatarajia kukutana na viongozi wa Vyama vya Siasa
vinavyounda Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) ili kuzungumzia mchakato
wa Katiba.
Katika mkutano huo, Rais Kikwete atakutaka 'kiaina' na wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambao unaundwa na vyama vya NCCR-Mageuzi, Chadema na CUF..(E.L)..
Katika mkutano huo, Rais Kikwete atakutaka 'kiaina' na wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambao unaundwa na vyama vya NCCR-Mageuzi, Chadema na CUF..(E.L)..
Katika mkutano huo, Rais Kikwete atakutaka 'kiaina' na wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambao unaundwa na vyama vya NCCR-Mageuzi, Chadema na CUF..(E.L)..
Aprili 16, mwaka huu wajumbe wa Ukawa
na baadhi kutoka Kundi la 201, walisusia vikao vya Bunge hilo wakitaka
msingi wa mapendekezo ya Rasimu ya Katiba usibadilishwe, wakipinga
uamuzi wa CCM kutaka kuingiza mfumo wa serikali mbili badala ya tatu
zilizopendekezwa katika Rasimu.
TCD inaundwa na vyama vya siasa vyenye uwakilishi bungeni ambavyo ni CCM, CUF, Chadema, NCCR-Mageuzi, UDP na TLP, huku vyama visivyo na uwakilishi bungeni vikiwakilishwa na UPDP kinachoongozwa na Fahmi Dovutwa.
Jana, kwa nyakati tofauti wenyeviti wenza wa Ukawa, Freeman Mbowe (Chadema) na Profesa Ibrahim Lipumba (CUF) na James Mbatia (NCCR Mageuzi), walisema wako tayari kukutana na Rais, ila msimamo wao wa kutaka ijadiliwe rasimu iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.
Kimekuwa ni kilio cha muda mrefu kwa Ukawa kuomba wakutane na Rais Kikwete kwa ajili ya kujadiliana namna bora ya kuendesha mchakato wa kupata Katiba Mpya.
Akizungumza na waandishi wa habari bungeni Dodoma jana, Mwenyekiti wa TCD, John Cheyo alisema Rais atafanya kikao hicho wakati wowote ndani ya wiki hii na kwamba viongozi wa vyama wakiwamo wa Ukawa, wamethibitisha kushiriki.
Cheyo alisema, katika kikao walichokutana Dar es Salaam Agosti 23, wanachama wa TCD walikubaliana kwamba upo umuhimu wa kukutana na Rais Kikwete kwa mazungumzo na maridhiano.
Kukutana kwa viongozi hao, kunakuja huku wajumbe wa Bunge Maalumu wakiwa wamemaliza kujadili sura zote 15 zilizokuwa zimesalia na tayari baadhi ya kamati zimemaliza kupiga kura wakisubiri kuingia bungeni Septemba 2 kwa kazi ya kupigia kura sura kwa sura.
Kuhusu viongozi wa Ukawa, alisema wanazo taarifa na baadhi yao walikuwapo katika kikao cha kujadili kukutana na kiongozi huyo wa nchi, hivyo akasema lazima watashiriki wakati wowote wakiitwa.
Lipumba
Akizungumzia mkutano huo na Rais, Profesa Lipumba alisema: "Tunakutana na Rais Kikwete kwa sababu sisi ni wanachama wa TCD." Alipoulizwa juu ya msimamo wa Ukawa, alisema lengo ni kutafuta mwafaka ili mchakato wa kupata Katiba Mpya uendeshwe kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu.
"Kikubwa tunachokitaka ni maoni ya wananchi yaliyokusanywa na Tume ya Katiba iliyokuwa ikiongozwa na Jaji Warioba kuheshimiwa na siyo kuchukuliwa maoni mengine kama inavyofanyika sasa huko bungeni," alisema Profesa Lipumba.
Mbowe
Mbowe alisema Katiba Mpya ni kwa masilahi ya Watanzania wote na Taifa lao, hivyo inapotokea mikutano kama hiyo na kwa hali ilivyo sasa, hakuna mtu mwenye nia njema atakayekataa kushiriki. Kikubwa ni kwamba hatuwezi kubadili msimamo wetu na huo ndiyo ukweli," alisema.
Kuhusu Bunge hilo kupokea maoni ya makundi mbalimbali wakati tayari ukusanyaji wa maoni umeshafanywa na Tume ya Jaji Warioba, Mbowe alisema, "Ndiyo maana tulisusia vikao vya Bunge la Katiba, nadhani sasa Watanzania wamejua kwa nini tulitoka nje."
Mbowe alisema kuwa mchakato wa Katiba unaendeshwa kwa mujibu wa sheria, lakini hivi sasa Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samwel Sitta analiendesha Bunge hilo kinyume na sheria hiyo... "Ukusanyaji wa maoni unaofanyika sasa ni fedheha kwa CCM na Serikali, ni utoto na aibu wa CCM. Kwa sasa Ukawa tumetulia tunatazama hali inavyokwenda na tuna mipango yetu ambayo tunapanga. Kama hali ikiendelea kuwa hivi tutachukua uamuzi mgumu ili dunia nzima ijue."
James Mbatia
Alisema wako tayari kukutana na Rais Kikwete kwa ushauriano kwa sababu suala la maridhiano ni la msingi na viongozi wote wa TCD walikubaliana Agosti 23.
"Mwaliko tumeupata na tutashiriki. Bunge linaweza kuendelea kwa taratibu zake za kisheria, lakini suala la mashauriano, lazima tukae tuangalie ni jinsi gani Taifa letu linaweza likavuka kwa maridhiano kwa amani na utulivu," alisema.
Kauli ya Ikulu
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Salva Rweyemamu alisema Rais Kikwete yuko tayari kukutana na viongozi wa vyama vya siasa muda wowote... "Wao wafuate utaratibu tu, Rais hawezi kukataa kukutana nao na hilo amekuwa akilisema mara nyingi tu."
TCD inaundwa na vyama vya siasa vyenye uwakilishi bungeni ambavyo ni CCM, CUF, Chadema, NCCR-Mageuzi, UDP na TLP, huku vyama visivyo na uwakilishi bungeni vikiwakilishwa na UPDP kinachoongozwa na Fahmi Dovutwa.
Jana, kwa nyakati tofauti wenyeviti wenza wa Ukawa, Freeman Mbowe (Chadema) na Profesa Ibrahim Lipumba (CUF) na James Mbatia (NCCR Mageuzi), walisema wako tayari kukutana na Rais, ila msimamo wao wa kutaka ijadiliwe rasimu iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.
Kimekuwa ni kilio cha muda mrefu kwa Ukawa kuomba wakutane na Rais Kikwete kwa ajili ya kujadiliana namna bora ya kuendesha mchakato wa kupata Katiba Mpya.
Akizungumza na waandishi wa habari bungeni Dodoma jana, Mwenyekiti wa TCD, John Cheyo alisema Rais atafanya kikao hicho wakati wowote ndani ya wiki hii na kwamba viongozi wa vyama wakiwamo wa Ukawa, wamethibitisha kushiriki.
Cheyo alisema, katika kikao walichokutana Dar es Salaam Agosti 23, wanachama wa TCD walikubaliana kwamba upo umuhimu wa kukutana na Rais Kikwete kwa mazungumzo na maridhiano.
Kukutana kwa viongozi hao, kunakuja huku wajumbe wa Bunge Maalumu wakiwa wamemaliza kujadili sura zote 15 zilizokuwa zimesalia na tayari baadhi ya kamati zimemaliza kupiga kura wakisubiri kuingia bungeni Septemba 2 kwa kazi ya kupigia kura sura kwa sura.
Kuhusu viongozi wa Ukawa, alisema wanazo taarifa na baadhi yao walikuwapo katika kikao cha kujadili kukutana na kiongozi huyo wa nchi, hivyo akasema lazima watashiriki wakati wowote wakiitwa.
Lipumba
Akizungumzia mkutano huo na Rais, Profesa Lipumba alisema: "Tunakutana na Rais Kikwete kwa sababu sisi ni wanachama wa TCD." Alipoulizwa juu ya msimamo wa Ukawa, alisema lengo ni kutafuta mwafaka ili mchakato wa kupata Katiba Mpya uendeshwe kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu.
"Kikubwa tunachokitaka ni maoni ya wananchi yaliyokusanywa na Tume ya Katiba iliyokuwa ikiongozwa na Jaji Warioba kuheshimiwa na siyo kuchukuliwa maoni mengine kama inavyofanyika sasa huko bungeni," alisema Profesa Lipumba.
Mbowe
Mbowe alisema Katiba Mpya ni kwa masilahi ya Watanzania wote na Taifa lao, hivyo inapotokea mikutano kama hiyo na kwa hali ilivyo sasa, hakuna mtu mwenye nia njema atakayekataa kushiriki. Kikubwa ni kwamba hatuwezi kubadili msimamo wetu na huo ndiyo ukweli," alisema.
Kuhusu Bunge hilo kupokea maoni ya makundi mbalimbali wakati tayari ukusanyaji wa maoni umeshafanywa na Tume ya Jaji Warioba, Mbowe alisema, "Ndiyo maana tulisusia vikao vya Bunge la Katiba, nadhani sasa Watanzania wamejua kwa nini tulitoka nje."
Mbowe alisema kuwa mchakato wa Katiba unaendeshwa kwa mujibu wa sheria, lakini hivi sasa Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samwel Sitta analiendesha Bunge hilo kinyume na sheria hiyo... "Ukusanyaji wa maoni unaofanyika sasa ni fedheha kwa CCM na Serikali, ni utoto na aibu wa CCM. Kwa sasa Ukawa tumetulia tunatazama hali inavyokwenda na tuna mipango yetu ambayo tunapanga. Kama hali ikiendelea kuwa hivi tutachukua uamuzi mgumu ili dunia nzima ijue."
James Mbatia
Alisema wako tayari kukutana na Rais Kikwete kwa ushauriano kwa sababu suala la maridhiano ni la msingi na viongozi wote wa TCD walikubaliana Agosti 23.
"Mwaliko tumeupata na tutashiriki. Bunge linaweza kuendelea kwa taratibu zake za kisheria, lakini suala la mashauriano, lazima tukae tuangalie ni jinsi gani Taifa letu linaweza likavuka kwa maridhiano kwa amani na utulivu," alisema.
Kauli ya Ikulu
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Salva Rweyemamu alisema Rais Kikwete yuko tayari kukutana na viongozi wa vyama vya siasa muda wowote... "Wao wafuate utaratibu tu, Rais hawezi kukataa kukutana nao na hilo amekuwa akilisema mara nyingi tu."
Tuesday, 26 August 2014
ANGALIA KIFO CHA KUJINYONGA KILIVYO KIBAYA
Mwili wa Rashid Athuman ukiwa unaning’inia katika kitanzi ambacho alikifunga chooni kabla ya kujinyonga kasha kujifungia chooni.
Mwili wa Rashid Athuman ukishushwa na wasamaria wema kutoka kwenye kitanzi kwa kwa kushirikiana na Jeshi la polisi.
Mwili wa Rashid Athuman ukiwa unahifadhiwa katika chumba cha kuhifadhiwa maiti katika hospital ya Peramiho.
Hiki
ni chumba ambacho marehemu alikuwa amepanga na kinachoonekana ni
kitanda ambacho alikuwa anatumia kulala yeye na mke wake .
Mke wa marehemu Lucy Adam (24) akiwa amembeba mtoto wake Yoweri Rashid (02) mgongoni.
--------------------------------
Na Oswad Ngonyani wa demashonews. Peramiho - Songea
Ikiwa
imepita siku moja tangu mazishi ya Fundi maabara mstaafu wa Hospitali
ya Peramiho Bwana Frederick Mgaya (60) ambaye alifariki kwa kujinyonga
alhamisi iliyopita hapa Peramiho, mtu mwingine tena aliyetambulika kwa
jina la Rashid Athuman (32) amekutwa amejinyonga katika choo cha nyumba
aliyokuwa akiishi.
Bwana
Rashid Athuman ambaye ni mkazi wa Usangu Jijini Mbeya amejinyonga kwa
kutumia shuka majira ya saa Saba za usiku baada ya kumuaga mke wake Bi
Lucy Adam (24) kuwa anakwenda chooni kujisaidia ambapo alikwenda
kukamilisha mpango wake huo.
Taarifa
kutoka kwa mke wake huyo zinaeleza kuwa enzi za uhai wake Bwana Rashid
Athuman alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kifua kikuu, tatizo
lililowafanya wachukue uamuzi wa kuja Peramiho kwa ajili ya matibabu.
Bi
Lucy anazidi kutanabaisha kuwa walifika Peramiho tarehe 19 Mwezi Julai
2014 na kupata chumba cha kupanga katika Kitongoji cha Namihoro jirani
na Stendi Kuu ya Peramiho katika nyumba ya Cosmas Chidumule ambapo tangu
wakati huo waliendelea na maisha yao wakiwa wakisaidiwa chakula na
majirani waliokuwa na mapenzi mema.
“Tangu
jana asubuhi nilishinda vizuri tu na marehemu mume wangu ambapo mishale
ya saa tatu za usiku tulienda kulala. Muda mchache baadaye nilipitiwa
na usingizi mpaka majira ya saa saba za usiku ambapo marehemu aliniamsha
na kunieleza kuwa alikuwa anakwenda uani kujisaidia ambapo baada ya
yeye kuelekea uani mimi niliendelea kulala” Alisema mke huyo wa
marehemu.
“Baada
ya muda mrefu kupita pasipo marehemu kurudi nikaamua kuamka na kutaka
kuufungua mlango wa chumbani lengo hasa likiwa kwenda uani kujua sababu
ya mume wangu kuchelewa kurudi. Nilishangaa kuona mlango umefungwa kwa
nje na ikanibidi nitumie kisu ili kuweza kuufungua mlango huo ambapo
nilifanikiwa na kwenda uani ambapo nilikuta mlango wa uani ukiwa
umefungwa kwa ndani kitu kilichonifanya niusukume kwa nguvu na kumkuta
mume wangu akiwa ananing’inia huku akiwa amekwishafariki” Alimalizia
mjane huyo.
Mjane
huyo ameishi na marehemu kwa muda wa miaka mitatu na kufanikiwa kupata
mtoto mmoja wa kiume, Yoweri Rashidi (2) ambapo uchunguzi zaidi kuhusu
chanzo cha kifo hicho bado unaendelea.
SOURCE;demashonews
Saturday, 23 August 2014
KIJANA MOJA ANUSURIKA KIFO AKIJARIBU KUIBA PIKIPIKI KAHAMA
Baada
ya kufikishwa hospital ya wilaya ya kahama kwa matibabu ana baada ya
wasamaria wema wakimsaidia nesi kumpeleka kwa dakitali kwa huduma .
Nes nisaindieni jaamani nipo pekee yangu ndiyo maneno ya nes naosema na kumuweka katika kiti cha wangonjwa .
Njamaaa muinueni huko tumuweke kwenye kiti kwa ajili ya huduma hospitali ya wilaya ya kahama
jaamani hajakaa vizuri mshikilieni vizuri kwanza
Kijana
mmoja anayekadiriwa kwa na umri wa miaka 30-32 ambaye
hajafahamika majina wala makazi yake ameuawa kwa kupigwa mawe, kisha
kuchomwa moto na wananchi wanaodaiwa kuwa na hasira, baada ya kumtuhumu
kutapeli pikipiki.
Tukio
hilo limetokea jana majira ya saa tano asubuhi katika mtaa wa Nyihogo,
eneo la Mnazi Mmoja, Barabara ya Tabora Karibu na Ofisi za halmashauri
ya Mji wa Kahama Mkoani Shinyanga.
Mtuhumiwa
huyo ambaye kwa sasa ni marehemu inadaiwa alikodisha Pikipiki hiyo
zaidi ya Miezi mitatu iliyopita katika eneo la Maegesho ya Daladala za
Pikipiki katika Lango kuu la hospital ya Wilaya hiyo.
Aidha
Mmiliki wa Pikipiki hiyo ambaye hajafahamika mara moja wala namba ya
pikipiki, inadaiwa alimkamata maeneo ya mtaa wa Shunu Kata ya Nyahanga
ambapo aliamua kumpeleka katika kituo cha polisi akiwa amemfunga kamba.
Baada
ya wananchi kuona mtuhumiwa amefungwa kamba ndipo wakamuuliza mmiliki
huyo ambaye aliwaeleza, na ghafla wananchi wakaanza kumshambulia kwa
mawe na kisha kumchoma Moto.
Kamanda
wa jeshi la polisi mkoa wa shinyanga Justus kamugisha Amedhibitisha
kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa ni kweli tukio hilo limetoka jana
majira ya asubuhi saa 5 kijana moja ambaye jina lake alikuweza
kufahamika mara moja alikuwa amekamatwa na mwanachi moja ambapo alikuwa
ametoloka na pikipiki yake maeneo ya nyahanga wilayani kahama .
Aidha
kamanda kamugisha alizidi kuelezea kuwa pamoja na tukio hilo kutokea kwa
kijana huyo jeshi la polisi linawatafuta watu wote walifanya mauji
hayo
MATUKIO KATIKA PICHA:
Subscribe to:
Posts (Atom)