Monday, 14 July 2014

Ujerumani ni bingwa wa kombe la dunia



140713221911 germany win 512x288 getty nocredit 7abf2
Ujerumani wanakuwa timu ya kwanza ya kutoka bara Ulaya kutwaa kombe la dunia katika mchuano ulioandaliwa Kusini mwa Marekani.
Ujerumani ilihitaji bao la muda wa ziada la Mario Gotze kuinyamazisha Argentina katika mechi hiyo iliyochezwa katika uwanja wa Maracana.
Kufuatia ushindi huo Ujerumani walinyakua taji kwa mara ya nne .(Hudugu Ng'amilo)



No comments:

Post a Comment