Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa akizungumza wakati wa hafla ya
kuuaga uongozi wa Chama cha Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Chadema (Chaso),
Tawi la Chuo Kikuu cha Sayansi ya Afya na Tiba Muhimbili( MUHAS), Dar
es Salaam jana. kushoto ni Katibu Baraza la Wanawake wa Chadema,
(Bawacha), Naomi Kaihula na kulia ni mwenyekiti chama hicho Kanda ya
Mashariki, Profesa Abdallah Safari. Picha na Nuzulack Dausen
No comments:
Post a Comment