Thursday, 19 June 2014

TUKIO ZIMA KATIKA PICHA: AJALI YA BASI LA NEW FORCE , WATEMBEA KWA MIGUU WAWILI WAFARIKI NA WENGINE KUJERUHIWA


Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro Muda akiwa katika eneo la Ajali Jana 
 Hivi Ndivyo basi la New Force linavyo onekana kwa Mbele Baada ya kupata ajali
 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abass Kandoro akiwa anatembelea eneo ambapo ajali hiyo ilitokea
 Askari wa Usalama wa barabarani wakiwa eneo la tukio
 Basi la New Force upande wa Mbele
 Miili ya watu wawili waliofariki katika ajali hiyo
 Kazi ya kuwaokoa ndani ya basi la New Force inaendelea 
 Baadhi ya watu wakiwa wameokiolewa
 Majeruhi
 Mashuhuda
 Basi la New Force
 Mmoja wa Mashuhuda akilia kwa uchungu

No comments:

Post a Comment