Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro Muda akiwa katika eneo la Ajali Jana
Hivi Ndivyo basi la New Force linavyo onekana kwa Mbele Baada ya kupata ajali
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abass Kandoro akiwa anatembelea eneo ambapo ajali hiyo ilitokea
Askari wa Usalama wa barabarani wakiwa eneo la tukio
Basi la New Force upande wa Mbele
Miili ya watu wawili waliofariki katika ajali hiyo
Kazi ya kuwaokoa ndani ya basi la New Force inaendelea
Baadhi ya watu wakiwa wameokiolewa
Majeruhi
Mashuhuda
Basi la New Force
Mmoja wa Mashuhuda akilia kwa uchungu
No comments:
Post a Comment