Sunday, 15 June 2014

CHAMA CHA WA BABA KANISA LA {T.A.G} ILOMBA WAMEFANYA KUFURU

Mchungaji  Annoni Mwakitalu akifungua sherehe ya chama cha wababa
Washirika wakifanya harambee ya kuchangisha fedha za kujenga kanisa
Wababa wakikabizi mifuko mia moja (100) ya cement kwa uongozi wa kanisa
Wanaume wakitumbwiza sherehe yao
Mgeni rasmi Mzee Simkoko akimkabizi Mchungaji cheki ya shillingi laki nane
Mgeni rasmi Mzee Simkoko akiwa anasikiliza kwa makini
Mzee Mkwama akielezea sare yao inamaanisha nini

Chama hicho kimetoa cheki ya laki nane kwa mchungaji na kutoa mifuko mia moja ya cement kwa
kamati ya ujenzi wa kanisa.

                                                             Na Habari Talk

No comments:

Post a Comment