Irene Neema Vedastous 'La Veda', Mshiriki wa Big Brother Hotshots kutoka Tanzania.
IRENE
NEEMA VEDASTOUS ni msichana mrembo wa Kitanzania, mwenye umri wa miaka
23 anayeiwakilisha Tanzania katika shindano la BIG BROTHER 2014
‘HOTSHOTS’ nchini Afrika Kusini.
La Veda katika pozi na baadhi ya mastaa.
Mrembo
huyu ambaye ameshawahi kuingia 10 bora ya shindano la Miss Tanzania
mwaka 2012, baada ya kutwaa taji la Miss Lindi 2012, anaingia rasmi leo
tarehe 5 Oktoba 2014 kwenye shindano hilo lenye mashabiki
wengi duniani ambalo kuanzia saa 1 jioni litakua likirushwa live kupitia DSTV kwenye channel no. 198.
wengi duniani ambalo kuanzia saa 1 jioni litakua likirushwa live kupitia DSTV kwenye channel no. 198.
Irene Neema Vedastous aka Irene La Veda ni nani?(P.T)
No comments:
Post a Comment