UHOLANZI YASHIKA NAFASI YA TATU KWENYE KOMBE LA DUNIA
Timu ya
taifa ya Uholanzi imefanikiwa kupata nafasi ya tatu baada ya kuwafunga
wenyeji wa michuano hii ya Kombe la Dunia Brazil. Uholanzi waliwafunga
Brazil kwa jumla ya magoli matatu kwa bila na kuwafanya Brazil kushika
nafasi ya nne.(P.T)
No comments:
Post a Comment