Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa
Tanzania ambao ni sehemu ya maonesho katika banda la JWTZ kwenye
maonesho ya kimataifa ya biashara maarufu kama SabaSaba alipotembelea
tena leo Juai 6, 2014 baada ya ziara yake ya jana kutokamilika kutokana
na muda. Makomandoo hao wanashinda wamesimama hivyo kutwa nzima bila
kutikisika wala kupepesa macho na kuwa kivutio cha aina yake
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipokea zawadi toka kwa Bi. Jacqueline M. Maleko
ateuliuwa kuwa mkurugenzi mkuu wa TANTRADE alipomaliza kutembelea
maonesho ya kimataifa ya biashara maarufu kama SabaSaba alipotembelea
tena leo Juai 6, 2014 baada ya ziara yake ya jana kutokamilika kutokana
na muda. Makomandoo hao wanashinda wamesimama hivyo kutwanzima bila kutikisika wala kupepesa macho na kuwa kivutio cha aina yake.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipozi katika picha ya pamoja na viongozi na
wafanyakazi katika banda la JWTZ alipomaliza kutembelea maonesho ya
kimataifa ya biashara maarufu kama SabaSaba alipotembelea tena leo Juai
6, 2014 baada ya ziara yake ya jana kutokamilika kutokana na muda.(A.I).
No comments:
Post a Comment