Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla
(katikati), akiongozwa polisi kuingia kwenye gari baada ya kutokea
vurugu meza kuu, katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Goba,
Kinondoni Dar es Salaam, ambazo alidai zilipangwa kwa makusudi na
viongozi wa Chadema kwa lengo la kumvulugia ziara yake ya kuwaelezea
wananchi utekelezaji wa Ilani ya CCM katika suala la upatikanaji wa maji
ya uhakika jijini Dar es Salaam ifikapo Septemba, mwakani. PICHA ZOTE
NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG


Makalla akijadiliana na maofisa wa CCM na Polisi kabla ya kwenda kupanda gari na kuondoka.

Poilisi wakiwadhibiti baadhi ya wafuasi wa Chadema waliokuwa wakisababisha vurugu katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Makongo. Kinondoni. (FS)
Makalla akijadiliana na maofisa wa CCM na Polisi kabla ya kwenda kupanda gari na kuondoka.
Poilisi wakiwadhibiti baadhi ya wafuasi wa Chadema waliokuwa wakisababisha vurugu katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Makongo. Kinondoni. (FS)
No comments:
Post a Comment