Thursday, 31 July 2014

MAHAKAMA KUU KANDA YA MBEYA IMEAMURU KUCHOMWA MOTO DAWA ZA KULEVYA ZENYE THAMANI YA BILION 1.8 ZILIZOKAMATWA MPAKANI TUNDUMA MWAKA 2010


Dawa hizo a kulevya zateketezwa chini ya ulinzi mkali wa Polisi




Madawa hayo yakitumbukizwa katika tanuru la moto mkali



 Raia wawili wa Afrika kusini, Vuyo Jack, na mkewe Anastazia Cloete. wanaotuhumiwa kwa kukutwa na madawa hayo Kesi yao bado inaendelea

No comments:

Post a Comment