Thursday, 31 July 2014

LAPTOP DELL D630 INAUZWA KWA BIE NAFUU PIGA 0752659508


DELL D630 KWA MAWASILIANO PIGA 075252659508
                                        Habari talk

Tuwachore tu




Photo: TuwachoreTu
Photo: #TuwachoreTu
Photo: Naam...
Photo: TuwachoreTu
Photo
Photo
(MC)

MAHAKAMA KUU KANDA YA MBEYA IMEAMURU KUCHOMWA MOTO DAWA ZA KULEVYA ZENYE THAMANI YA BILION 1.8 ZILIZOKAMATWA MPAKANI TUNDUMA MWAKA 2010


Dawa hizo a kulevya zateketezwa chini ya ulinzi mkali wa Polisi




Madawa hayo yakitumbukizwa katika tanuru la moto mkali



 Raia wawili wa Afrika kusini, Vuyo Jack, na mkewe Anastazia Cloete. wanaotuhumiwa kwa kukutwa na madawa hayo Kesi yao bado inaendelea

Tuesday, 29 July 2014

Magazeti Leo Jumatano

2_31eed.jpg
3_f7042.jpg
4_47118.jpg
5_513e0.jpg
10_d73e7.jpg
20_a7066.jpg
21_7a634.jpg
22_565fb.jpg
23_5a37a.jpg
25_cc5ab.jpg
27_93b54.jpg
28_dea23.jpg
34_f6334.jpg
35_b38c7.jpg
36_38610.jpg
37_b6757.jpg
38_24549.jpg
39_e5298.jpg
40_db762.jpg
997010_1445002322440015_6376912847200676221_n_f7ba2.jpg
1912332_1445002549106659_6994793990986958057_n_2331a.jpg
10494593_1444997939107120_9147557236931706080_n_a786b.jpg

Tuma Maoni

VIFAA VYA KIUCHAWI VYA TELEKEZWA MCHANA KWEUPE


          Na Emmanuel Mwinuka
          Wa Habari Talk

INATISHA SANA: SANGOMA AMFYEKA MTOTO NYETI ZAKE...FUATILIA ZAIDI HAPA!

  Mtoto Almasi mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kumi akiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili.
NI jambo lililowaacha midomo wazi madaktari na wauguzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), jijini Dar es Salaam ambapo mtoto Almasi mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kumi (pichani akiwa na muuguzi) kufikishwa hospitalini hapo akiwa amekatwa nyeti na mtu aliyedaiwa ni mganga wa kienyeji ‘sangoma’ na kuipeleka kusikojulikana.

Monday, 28 July 2014

Serikali yapiga ‘stop’ ajira 70 za Uhamiaji


Share bookmark Print Email Rating
 Shehemu ya vijana wanaokadiriwa kufikia 10,800, waliojitokeza kuomba ajira Idara ya Uhamiaji, wakiwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam Julai 13, kusubiri usaili ili kujaza nafasi 70 zilizokuwa wazi. Picha ya Maktaba