Friday, 20 June 2014

BALOTELLI :AHITAJI BUSU KUTOKA KWA MALKIA ELIZABETI






1_ce05c.jpg
SUPER MARIO
Mario Balotelli amesema anatarajia busu kutoka kwa malikia kama Italia itaifunga Costa Rica leo ijumaa.
 MATUMAINI ya England kufuzu hatua ya pili ya kombe la dunia yamefifia baada ya kufungwa mabao 2-1 na Uruguay.
Roy Hodgson anatakiwa kuwaombea Italia ili waifunge Costa Rica leo ijumaa ili simba watatu waendelee kuwepo katika mashindano.
Mshambuliaji wa Azzurri, Marioa Balotelli amekuja na kali nyingine baada ya kudai Italia itafanikiwa kuifunga Costa Rica na kama itatokea atahitaji busu la malkia wa Uingereza,(A.I).

No comments:

Post a Comment