
Na mwaka 1994, baada ya kufunga bao murua dhidi ya Ugiriki, wapenzi wa soka tukaamini kuwa Maradona amerudi kwenye kiwango chake. Lakini, baada ya mechi na Nigeria ikagundulika kuwa Maradona ametumia vidonge vya kuongeza nguvu aina ya Efedrin.
Na hapo ikawa anguko kuu la Maradona.
Maggid.(P.T)
No comments:
Post a Comment