Monday, 23 June 2014

MGIMWA ATUMIA USAFIRI WA BAISKELI KUWATEMBELEA WANANCHI




Mbunge wa  jimbo la Kalenga mkoani Iringa Godfrey Mgimwa akitumia usafiri wa Baiskeli kuwafikia wapiga kura wake katika kijiji cha Kivalali kata ya Ifunda baada ya gari lake  kupata pacha  wakati wa ziara hiyo hivyo kulazimika kutafuta baiskeli ili kufika haraka mkutanoni kusikiliza kero za  wananchi wake.(picha na Francis Godwin Blog) (P.T)

No comments:

Post a Comment