Monday, 23 June 2014

BODABODA ZABANWA NCHI NZIMA






POLISI imetangaza operesheni nchi nzima ya kukamata madereva wa pikipiki (bodaboda), wasiofuata sheria za usalama barabarani, wakiwemo wanaopita taa nyekundu bila kuruhusiwa.
Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Senso alitoa tamko jijini Dar es Salaam jana wakati akizungumza na waandishi wa habari.Licha ya operesheni kulenga kudhibiti madereva wa vyombo hivyo wanaopita taa nyekundu, makosa mengine yatakayosababisha sheria kuchukua mkondo wake ni kutozingatia alama na michoro ya usalama barabarani. 

No comments:

Post a Comment