Habari zilizo tufikia ni kwamba ajali hii mbaya imetokea eneo la
Makongo. Coaster mbili zimegongana watu 20 wamefariki hapo hapo.
R.I.P
Tunatoa pole kwa familia zote zilizo fikwa na msiba huu. Habari zaidi tutawaletea tutakapo zipata.
chanzo;habarikwanza
No comments:
Post a Comment